Diamond platnumz kabla ya kuanza kuimba alikua anafanya muziki kwa njia ya Kurap...Diamond amethibitisha kua ana uwezo wa kurap hadi sasa..msikilize hapo chini anavyoshuka kwenye bit ya wimbo Kid ink ft Chris Brown..
Dira Ya Dunia
1 hour ago

































Fifa imetangaza orodha ya majina 10 watakaowania tuzo ya mchezaji bora katika michuano ya Kombe la Dunia - 2014 Golden Ball.
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amewataka wakulima wazungu waliosalia nchini humo kutoa mashamba hayo kwa watu weusi.
Time in Dar Es Salaam 
