Hii ajali mbaya ilitokea jana asubuhi katika jiji la nairobi..Treni hiyo iligonga basi na kusababisha vifo vya watu 10 huku wengine wakijeruhiwa vibaya...tazama picha zingine hapa chini..
Ni mzee wa
miaka 58 “Ram Singh Chauhan” kutoka jaipur huko Rjasthan nchini india… ni mzee mwenye
mustachi mrefu duniani na amekua akiufuga mustachi huo kwa miaka 32
sasa..Mustachi wake una urefu wa futi 14 na hutumia mda wa masaa mawili
kuzisafisha…
Baada ya fans wengi kuanza
“kumponda” mwanadada Irene Uwoya kuwa gari aina ya Range Rover aliyoinunua
“amehongwa na washika dau”, mwanadada huyo ameibuka na kusema kuwa mali
anazomiliki amezinunua kwa pesa zake anazopata kwenye
Katika kuelekea kukamilisha mpango wake wa
kutambulisha muziki mpya kutoka kwa Linex, ametangaza rasmi kurudi tena kwenye
show za club za Dar es salaam mwakani baada ya kuwa tayari kutambulisha muziki
huo.
kwa urefu inawezekana akawa kamzidi mkewe kwa futi
mbili na nusu au zaidi..Lakini “ Sultan Kosen” mtu mrefu kuliko wote duniani
ana furaha kwa kumpata mke wake wa ndoa..kijana huyu anataraji kumuoa “Merve
Dibo” baada ya kuhangaika mda mrefu akitafuta mpenzi wa kuishi nae maishani..Tazama picha zingine hapa chini..
Msanii mahiri katika ulimwengu wa Bongo Flava
maarufu kama Diamond Platnumz, anatarajia kufanya Remix ya wimbo wake ambao
unatamba kwa sasa hapa bongo My
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa baba
mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema .A. Sepetu , “Balozi Isaac Abrahamu
Sepetu” amefariki dunia.. Marehemu
Msanii mahiri wa kike Tanzania
katika ulimwengu wa Bongo Fleva maarufu kama Linah, alikanusha uvumi wa kuwa
eti yeye amechumbiwa kutokana na picha alizozipost za Pete ya Uchumba katika
mitandao ya kijamii, Msanii huyo pia aliongeza
Ney wa Mitego ambae
ni staa wa single za ‘muziki gani’ na ‘salamu zao’ amethibitisha kupewa barua
na baraza la sanaa Tanzania ikiwa ni onyo la kutoendelea kuvaa suruali mlegezo
kwenye majukwaa mbalimbali anayoonekana.
Davido akiwa studio za Clouds FM na kesho ndo
Serengeti Fiesta 2013 Ataperform Live @ Leaders Club 2013 Jumamosi 26 Oktoba..Tazama picha zingine hapa chini..
Wezi wa mitandao wamezidi kuiba A/C za wasanii baada
ya kuiba Akaunti ya Kala Jermiah, Benpol, leo hii wamehack akaunti ya Profesa
Jay…tazama alichokisema baada ya Akaunti yake Kuibiwa....
Rapper wa Young Money Nicki Minaj Amesema Mambo
Mengi Kwenye Muziki Wake Yamehamasishwa Na old skul rapper wa kike Queen
Latifah na ndio maana muonekano wake ni kama wa Latifah.
Hawkins Turner (53) ni mwanamke anayetokea Georgia
Atlanta, mwanamke huyu ana Matiti Makubwa zaidi duniani nahuvaa sidiria yenye size 102zzzz,, Mwanamke
huyu aliiambia TLC kwamba Umbo lake limemfanya awe maarufu kwenye nchi zingine
Picha ya Pamoja ya Prince Williams akiwa na Mkewe (kate middleton) Pamoja na Mwanao(prince George) katika ubatizo wa Mtoto wao..Tazma picha zingine hapa chini...
Baada ya kunyang’anywa madaraka , Mbunge huyu wa
zamani wa jimbo la Embakasi Kenya “Waititu” amekua mwananchi wa kawaida na
amekua akitembea bila ulinzi na kuonekana katika hoteli za bei rahisi mwenyewe
katika mawazo mazito tofauti na zamani alivyokua akienda kwenye mahoteli makubwa.. , kitu ambacho wengi wamejiuliza kama kafulia au la.. Tazama
picha hapa chini..
Hakika Diamond Platnumz ana
Mashabiki wengi Wanaomkubali na kufuatilia yale afanyayo kuanzia mavazi mpaka
mapozi ya picha zake…Tazama picha hizi zikionyesha Mashabiki hao wakiwa katika
pozi moja na Diamond Platnumz..
Mmoja wa members wa Kigoma Allstars
anaefanya vizuri kwa industry ya muziki, Linex ameachia video yake nyingine …
KIMUGINA … Linex anasifika zaidi kuwa na
Kijana mmoja aneyekwenda
kwa jina la Dexter Isaac ambaye anatumikia kifungo cha maisha jela kwa kukutwa
na makosa ya kuua na kuteka..ameongea na kusema kua
MKALI wa sinema za Kibongo, Irene Paul amesema wakati wake wa kuolewa ukifika,
hatatolewa mahari kama ilivyozoeleka badala yake atachukuliwa bila ya mume
Dar Next Handsome ni Mashindano Ya Vijana
Watanashati zaidi Dar Es Salaam na Mshindi anakwenda Lagos Nigeria kushindana
Kwenye Mr Africa. Vijana hawa sita walienda a FNL kuzungumzia Mashindano Haya...Tazama picha zingine hapa chini..
October 25,mkali wa lyrics na vina,Solo thang
anatarajia kuachia historia nyingine this time inaonekana akiwa na Mr Blue. Single inaitwa
"Mdudu" kaa mkao mzuuri wa kuisikiliza. Definately is gonna be the
bomb
Dr. Jose Chameleon ameonyesha love kwa mwanaye kwa kumpongeza kwa kuchukua mwanamichezo wa mwaka.....tazama alichokiandika katika Akaunti yake ya Facebook..
Kama dakika chache zilizopita msanii mahiri
wa Bongo Fleva, Ben Pol amelalamika kwamba kuna mtu amefanikiwa kuingia katika
account zake zote za Facebook na kuzitumia account hizo visivyo … Soma maneno ya Ben Pol hapa alicho kiandika
katika ukurasa wake wa Twitter ..
Duniani kuna maajabu mengi,kati ya maajabu hayo ni
huu mgahawa uitwao Rock uliopo visiwani Zanzibar uliojengwa juu ya mwamba
mkubwa katika bahari ya Hindi..
AL-shabaab wameonyesha picha ambazo zimetafsiriwa
kama sherehe ya ushindi kuhusu yaliyotokea Kenya hivi karibuni…Hii ilitokea
siku ya jumanne katika sikukuu ya Eid-al-adha ambayo ilifanyika mjini burawa
huko nchini Somalia…Tazama picha zaidi hapa...
Hii ndiyo choo nchini California yenye sehemu ya
kupumzikia ukiwa unakula..choo hiki kilifunguliwa oktoba 11 na ni sehemu
inaovutia hata kwa usafi wake..Tazama picha nyingine hapa chini..
Kuna baadhi ya maneno,vitendo majina ama
taasis,vinakuwa na ishara zake zinazotoa maana ya neno ama kitu husika,mfano.Ukionyesha ishara ya vidole viwili
Zambia imetoa vibali vya kukamatwa
kwa wachezaji wake watatu waliokosa mechi ya kirafiki dhidi ya Brazil mjini
Beijing China. Hata hivyo Zambia ilishindwa na Brazil mabao mawili kwa nunge..
Nimezaliwa
Dar es salaam.. Mambo kibao nimepitia (+vity100%) ukichangia mazingira
nliyokulia nmejifunza na kuona mambo mengi.. #bangi #pombe hata #sigara
Kijana
mmoja Nchini Kenya mwenye Umri wa miaka
23 amepelekwa kituo cha polisi huko nyeri kwa tuhuma za kukutwa akifanya mapenzi
na Mbuzi..Inasemekana jamaa
Mpaka sasa ney haja sema ni nani na nini
kimepelekea yeye kuandika hivi kuhusu maisha yake ya muziki. Ila inaonyesha
hapa kati amekutana na misuko suko kwenye ,mishe zake, kuchukiwa na
kutokukubalika kunaweza pelekea mtu kusema yote haya...tazama hiyo meseji hapa chini...
Ni dhahiri kwamba watu wengi walikua wakijiuliza
kua Nicki minaj anahusika kwenye dini ya kishetani lakini walikosa uhakika
kuhusu ili swala..leo katika Video ya Nicki Minaj amekubali kumilikiwana shetani… cheki video hapa chini..
Huu ndio muonekano wa
stage ya Tusker Project Fame season 6 ambayo inaonekana kuwa ya kisasa na
imezungukwa na taa nyingi stejini… Tazama picha zaidi ya 7 hapa chini.....
Hivi karibuni BEYONCE
alidai kua atapiga picha za kwenye Calender yake ambayo ingetoka hivi karibuni
na ingeuzwa dollar 15 kwenye tovuti yake lakini Picha hizo zimevuja na
kuonekana kabla ya kalenda hiyo kutoka…Tazama picha hapa chini..