Saturday 30 November 2013

AMA KWELI PENZI NI KIKOHOZI: RAY, CHUCHU HANS LAIVU..!!! NEWZ NZIMA IKO HAPA!



Stori: Gladness Mallya
AMA kweli penzi ni kikohozi kulificha huwezi! Hatimaye uliokuwa uhusiano wa chini kwa chini wa nyota wawili wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans, siyo siri tena baada ya wahusika hao wakuu kujiachia ‘live’, Ijumaa limeshiba.

endelea hapa..

HUYU NDIYE MSHINDI WA BONGO STAR SEARCH ALIYEPATA MIL 50 USIKU WA KUAMKIA LEO.



Zawadi kwa mshindi wa mwaka huu ni Milion hamsini[50]ambayo kakabidhiwa jukwaani..Endelea hapa chini..

UNAJUA KWANINI FANI YA MODLING HAPA NCHINI INAFIFIA ??


Katika fani ya modeling kwa sasa inaonekana kufifia nchini, Yote ni kutokana na kutopewa nguvu kwa vijana wetu wa kitanzania ambao hujihusisha katika fani hii.
Pamoja na hilo katika fani hii kuna vigezo ambavyo wengi wa vijana hawa (models) huwa hawavizingatii katika kujihakikishia kwenye fani yao hiyo Baadhi ya vigezo hivo ni..

HIKI NDICHO KILICHOMFANYA T.I.D KWENDA MAHABUSU JANA USIKU..



Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' yupo mahabusu katika Kituo cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi msichana anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake,  Mariam Nnauye...soma zaidi hapa..

CHUO CHA UHASIBU ARUSHA KIMEPATA VIONGOZI WAPYA WATAKAONGOZA KWA MWAKA 2013-2014..


                                 Dennis Muhazi

Serikali ya wanafunzi ya chuo cha Uhasibu Arusha (IAASO) inafuraha kubwa ya kuwapata viongozi wapya katika uchaguzi uliofanyika jana chuoni hapo.. Katika uchaguzi huo kuna Post tatu ambazo zilikua Zikishindaniwa, ambazo ni: Rais , Makamu wa Rais na Waziri Mkuu (General secretary)....endelea hapa chini..

Friday 29 November 2013

HIVI NDIVYO SHOW YA DIAMOND PLATNUMZ ILIVYOKUA KATIKA UJIO WA KOMBE LA DUNIA NCHINI....

   Hivi ndivyo show ya Diamond Platnumz ilivyokua katika Mapokezi ya Kombe la dunia HAPA nchini....Tazama hapa chini....

HUYU NDIYE KIJANA ALIYEKATA UUME WAKE KUEPUKA USUMBUFU WA WANAWAKE HUKO TABORA..


Ayubu Mnazi Alphonce(24) ni kijana ambaye amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete akipatiwa matibabu baada ya kuamua kuukata uume wake kwa kutumia wembe mpya ili kuepukana na usumbufu anaoupata kutoka kwa wanawake ambao amekuwa nao kimapenzi........endelea hapa chini...

Sunday 24 November 2013

HIVI NDIVYO LADY JAYDEE ALIVOMPA MAKAVU MH. JANUARY MAKAMBA..

Lady Jaydee
Lady Jaydee kweli ni Anaconda na sio mtu wa kuchezea kwani ukiingia kichwa kichwa kwenye kumi na nane zake anakumeza na kukupaka live kama huna hoja ya msingi. Hayo yamempata Mbunge wa Bumbuli January Makamba. Angalia alichoandika Makamba hapo chini na jibu la Lady Jaydee ambaye ni mwanamuziki mwenye jina kubwa Afrika mashariki.

HUYU NDIYE DIRECTOR ALIYEFUKUZWA KAZI NA WEMA SEPETU KWA KUFANYA UZINZI NDANI YA GARI..

http://www.bongocinema.com/images/uploads/wema_sepetu2.jpg
Hivi karibuni kulikuwa na taarifa kuwa mwanadada Wema Sepetu ameamua kumtimua  aliyekuwa director wake maarufu kwa jina la Chid ni ufuska uliokubuhu wa director huyo ambaye alikuwa akitumia magari ya Wema Sepetu kama gest ya kumaliza haja zake...

Friday 22 November 2013

NEW AUDIO: YOUNG KACHA - BORA BABA ANGEKUA MBUNGE



Download na sikiliza ngoma ya Young Kacha – Bora baba angekua mbunge..endelea hapa chini..

BAADA YA MABESTE, GOSBY NA VANESA KUONDOKA B HITS...B HITS YATOA UFAFANUZI...


 
Jana (November 21) B’Hitz Music Group iliweka wazi uamuzi wa kuwaondoa kwenye label hiyo wasanii watatu ambao ni Vanessa Mdee, Mabeste na Gosby.

Wednesday 20 November 2013

Tuesday 19 November 2013

HIZI NDIZO MALI ANAZOMILIKI EMANUEL ADEBAYOR..KUNA PICHA ZAIDI YA 10 HAPA...

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiNWqv_xq7g41gGcL019e3dQO6XG0IMj7pQ9hkVhI6YG9TSaJiNLbPqe-eiMwtlx9mBm7cNwhcUpu0vjAJtuzKk-EOfZz9H050Oi-e0U028eQCwpbtE424VdWNxbX0K54abF-d27ZJ8Bjo/s1600/.1.png

Emanuel Adebayor ni kati ya wachezaji matajiri duiani..mchezaji huyo raia wa Togo ameonyesha baadhi ya mali anazomiliki ikiwa ni pamoja na ndege , magari na ana nyumba zilizopo Togo, Ghana, Uk pamoja na USA..hebu zitazame hapa chini…

Monday 18 November 2013

BAADA YA TETESI KUENEA KWAMBA SAUTI SOL NI MASHOGA..HIVI NDIVYO WAKENYA WALIVYOREACT..



Baada ya tetesi kuzagaa kwamba  kundi la muziki nchini Kenya “SAUTI soul” ni Mashoga, wakenya wameonyesha Reaction zao kwenye Twitter na kuwakejeli wanamuziki hao..Habari zilizopostiwa na blog moja (Ghafla) nchini humo zimeonyesha hizi picha pamoja na Tweets za wakenya walivyopokea habari hiyo...zicheki hapa chini...

HII NDO HOTELI YA KWANZA BARANI AFRIKA KUA NA VYUMBA CHINI YA MAJI..INAPATIKANA ZANZIBAR..

Aerial view. Picture: Genberg Art UW Ltd, photo by Jesper Anhede.

Manta Resort” Hotel hii ya kipekee iliyo visiwani Zanzibar yawa gumzo kwenye Vyombo vya Habari vya Kimataifa...
Ina vyumba chini ya maji na Bei ya kulala kwa siku ni $900 single na a$1,500 double..Hoteli imekua gumzo kwenye vyombo vya habari vya kimataifa na ndio hoteli pekee yenye vyumba vya chini ya maji Barani Africa ambapo mtu akiwa chumbani anaweza ona samaki wakipita nje ya dirisha lake…Tazama picha zaidi hapa chini,,,,

Sunday 17 November 2013

DIAMOND PLATNUMZ AZIDI KUPANUA MIPAKA...SASA AKUTANA NA P-SQUARE +EMANUEL ADEBAYOR NA KUPIGA PICHA YA PAMOJA..



https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-ash3/995552_650467401641744_361870386_n.jpg 
Diamond amezidi kuthibitisha kua yuko juu baada ya kupost picha akiwa na Mchezaji maarufu kutoka TOGO (pia anaichezea Klabu ya Totenham) “Emanuel Adebayor..Tazama picha hiyo hapa chini…

NAIBU MKUU WA USALAMA ATEKWA LIBYA...


Naibu wa mkuu wa usalama wa Libya, Moustapha Nouh, ametekwa nyara kutoka uwanja wa ndege wa Tripoli alipokuwa akirudi nchini..endelea hapa chini..

HUYU NDIYE DEMU MPYA WA PREZO.. NI MFANYABIASHARA KUTOKA TANZANIA..


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVFk_OVDG468t9dPvuTmGXvDU2bTwAaVGUR3cjnJ-8Tw26VSwXsoaIF9NWSws8CRoO7cFDkuTW1SyM08Za0DZup__X45inFPdJD7g4vYzCDCzlZpuFh5XnJY1kmcoN5AOlRgAjJOC-jpl4/s1600/010.jpg
Prezo yaonekana amepata demu mpya ambaye ni mfanyabiashara kutoka Tanzania…Prezo amekua akipost picha akiwa na demu wake huyo katika page yake ya instagram..huyo msichana anaitwa Tillya na alikua pia anamiliki blog moja(ambayo jina kamili hatujalipata bado)..Inasemekana uhusiano kati ya wawili hao umeanza miezi miwili iliyopita..Tazama picha zingine hapa..

Saturday 16 November 2013

BAADA YA UKIMYA WA WIKI MBILI, WEMA SEPETU WEMA SEPETU AANDIKA UJUMBE HUU KWA MASHABIKI WAKE..



wema sepetu ameoneka akipost kitu kwa mara ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii baada ya muda mrefu toka msiba wa baba yake ulipotokea hivi karibuni.
Katika post hiyo Wema amewataka “Teamwema” wapunguze jazba juu yanayotokea juu yake na kuwasihi kuwa wapunguze kutumia lugha ya matusi kwenye mitandao hiyo maana wanamuumiza ‘madame’..tazama alichokisema hapa...

NEW AUDIO: NAVY KENZO - CHELEWA

NAVY-KENZO

Download na sikiliza wimbo mpya kutoka kwa Nahreel +Aika (NAVY KENZO)..Ngoma inaitwa CHelewa…sikiliza na download hapa chini…. 

Friday 15 November 2013

HUYU NDIYE MWANAFUNZI ALIYEPATA TUNZO YA KUA MSICHANA MWENYE HAMU YA KUFANYA MAPENZI...



 
Msichana mwenye Umri wa miaka 20 “Elina Desaine” ambaye ni mwanafunzi wa computer Science kutoka chuo cha Exeter huko Britain amejishindia tunzo ya kua mwanafunzi mwenye hamu ya kufanya mapenzi kwa mwaka 2013…endelea hapa...

HUDDAH MONROE AMJIBU PREZO BAADA YA PREZO KUDAI AMELALA KARIBU NA DUNIA NZIMA...



Huddah monroe ameonyesha hawezi kukaa kimya baada ya Prezo kudai kua ni mali ya serikali aliwahi kulala na kila mtu dunia nzima...hichi ndicho alichokisema na Kumjibu prezzo...

PREZO: HUDDAH MONROE AMELALA NA KARIBU NA DUNIA NZIMA..

http://t0.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcQvRGYarrU8kUYMcyWcCLDL9d_cpewa4H1-CJWhjrdD8_m24G5s4g&t=1

Baada ya kupondwa na Huddah Monroe kuwa ‘amepigika’ mfalme wa bling, Rapcellency Prezzo ameAmua kujibu mashambulizi na kusema uhusiano wake na Huddah ulikuwa wa kufanya mapenzi tu, basi..endelea kusoma hapa...

Thursday 14 November 2013

AUNT, WOLPER NA SNURA WAFUNGA MTAA KWA MAUNO...TAZAMA ISSUE NZIMA HAPA..



Stori: Hamida Hassan
Mastaa wa filamu za Kibongo wenye jina kubwa mjini, Aunt Ezekiel, Jacgueline Wolper na Snura Mushi hivi karibuni walitisha kwa kufunga mtaa kutokana na mauno waliyokuwa wakikata mbele za wapiga ngoma wa Kundi la Baikoko, tukio lililojiri Mwananyamala, Dar nyumbani kwa msanii mwenzao Vanitha Omary...Endelea hapa chini..

Wednesday 13 November 2013

MTOTO WA RAIS ATIA AIBU.. ATAKA KUGOMBANA KWENYE KUMBI ZA STAREHE..



 
Ni mwezi umepita tangu kuanzisha kampuni yake a fashion, Mtoto wa Rais Uhuru kenyata ”Muhoho Kenyatta” amekaa tena katika headline lakin safari hii ikiwa ni kwa Mambo mabaya…

FORBES WAMETOA ORODHA YA WATU 50 MATAJIRI ZAIDI AFRIKA..MWANASIASA MAARUFU AONGOZA KWA UPANDE WA TANZANIA..




 
Forbes Wametoa Listi ya watu 50 matajiri zaid afrika huku Listi ikiongozwa na Mnigeria Aliko Dangote(pichani ) Na kwa upande wa Nyumbani, Mtanzania(mwanasiasa) Wa kwanza ameonekana akiwa katika nafasi ya 27  na Ana Utajiri wa Dola BILLIONI 1..cheki Listi nzima hapa chini…

Tuesday 12 November 2013

MSANII HUYU MAARUFU WA KIKE AWASHANGAZA MASHABIKI WAKE BAADA YA DAMU KUANZA KUMTOKA SEHEMU NYETI AKIWA STEJINI...



 
Hizi zinaweza kuwa nyakati mbaya kwa Msanii Cindy wa blue three  baada ya kuwashtua mashabiki wake akiwa anapiga show live kwa stage huku ikionekana damu zikimtoka sehemu nyeti…Picha nyingine iko hapa…

MTU HUYU AUZA KORODANI YAKE KWA DOLA 35,000..



 
Mark Paris wa Las Vegas anampango wa kuwauzia Wachunguzi(Researchers) moja ya korodani yake kwa kwa ghar ama ya dola 35,000 ili kutumiwa na wachunguzi hao katika majaribio yao…endelea hapa chini.....

KALA JEREMIA feat NAY LEE- WALE WALE... COMING SOON

Monday 11 November 2013

HAWA NDIO MAASKARI TRAFIKI WAREMBO ZAIDI KENYA.. TAZAMA HAPA..




Yasmin Abdi wa Juja Police Station
 Katika pita yangu mitandaoni..nimekutana na habari ikidai hawa ndio baadhi ya Maaskari wazuri nchini Kenya…na Madereva wengi wamedai kutekwa na Uzuri walionao Maaskari Trafiki hao.. Tazama Picha za wengine hapa chini…

PICHA: HUDDAH MONROE NDANI YA BANGKOK...

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0EFBk21awIBiKQ1J-q09S_hGA4fG6WKqL955_MGQm8qHGBP7bX5-OyUFlbbDA2ynpaEfijamChKoOVC6b7nfPkfp6J1XQwqLnDqXLQh9oqv-Awsr5bJzmKgUoo-HQewweD0LFf1OlDVw/s1600/BBA+Huddah.jpg

Bang kok ni kati ya miji inayojulikana huko Asia kwa kuwa na utalii ..Mshiriki wa BBA the chase “Hudda Monroe” ameshea nasi picha hizi akila bata huko Asia katika mji huo maarufu…Zitazame hizo picha hapa..

AUNT EZEKIEL: NILIKWENDA KWA DEMONTE KUSAKA MTOTO..




Stori: Hamida Hassan
Sura ya mauzo katika sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amefunguka kuwa alikwenda Dubai kwa mumewe Sunday Demonte kwa ajili ya kusaka mtoto kwani kwa sasa hatumii kinga kwa sababu anahitaji kuitwa mama..endelea kusoma hapa..

KASEJA SASA KUICHEZEA YANGA...AWAUMIZA BARTHEZ NA DIDA

 
KIPA Ally Mustapha ‘Barthez’ alimkimbia Juma Kaseja na kutimkia Yanga kutokana na kukosa nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza cha Simba na sasa Kaseja amerejea Yanga kwa mara nyingine.

Sunday 10 November 2013

KUTOA NI MOYO SI UTAJIRI.. WATOTO HAWA WANAHITAJI MSAADA WAKO..

KIBOWA ni kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu(yatima).. jina KIBOWA ni ufupisho wa maneno “Kituo Bora cha Watoto”..Kituo hichi kilichopo Lemara jijini Arusha lina Watoto Takribani 49 na  kimekua kikiendeshwa na

Saturday 9 November 2013

AUDIO: HARD MARD - NAISHI GHETO



Msanii Hard Mad ameachia wimbo Aliouita ‘Naishi Ghetto’ akiwa amejivika husika wa Yahaya aliyeibwa na Lady Jay Dee. Wimbo huu umetengenezwa na mdundo ragga ukiwa na Melody ya komando ya Jide na wimbo umetayarishwa na producer wa studio za Over Classic zilizoko Jijini Mwanza .download na sikiliza hapa chini..

HII INAKUHUSU SHABIKI WA DIAMOND PLATNUMZ...

 

Baada ya kuzunguka akipiga show za nje ya nchi..Diamond platnumz amezidi kudhihirisha kua ni mkali kunako gemu ya muziki wa bongo fleva na sasa anatarajia kupiga show Jijini Arusha..Diamond alipost picha hizo kwenye mtandao wa instagram na kuambatanisha na hizi picha zingine ..Tazama hapa chini...

HAYA NDIO MANENO YA BOB JUNIOR BAADA YA KUACHANA NA MKE WAKE....



STAA wa Bongo Fleva Rahim Nanji’Bob Junior’amefunguka kuwa ataendelea kumuheshimu  mke wake Halima ally ambaye amezaa naye mtoto mmoja wa kiume hata kama wameachana..endelea kusoma hapa...

Friday 8 November 2013

STEVE NYERERE: TUSIMLAUMU RAY..WEMA ALIKUA HAJITOI KWENYE MISIBA YA WENZAKE..

Msanii wa filamu, Steve Nyerere amesema Wema Sepetu alikuwa hajitoi kwenye matatazo ya wasanii wenzake wa filamu na ndio maana wasanii wengi wa filamu wakashindwa kuhudhuria katika mazishi ya baba yake, Balozi Isaac Abraham Sepetu mwishoni mwa mwezi uliopita...Endelea hapa chini..

Thursday 7 November 2013

PICHA: PAPA FRANCIS AKIMUOMBEA NA KUMBUSU MGONJWA ALIYEJAA MAJIPU MWILI MZIMA



 
Kwa tulio wengi tungemkimbia au kushindwa kumsogelea wala kumgusa lakini Papa Francis ameonyesha Love kwa Mtu huyu mbaye amejaa upele mwili mzima kwa kum-busu  huku kumuombea.. haya yametokea jana kanisani huko Roma wakati papa alikua akiwaombea waumini waliokuja kanisani hapo…Tazama picha hapa chini..

Wednesday 6 November 2013

NEW VIDEO: NEY WA MITEGO(TRUE BOY) feat NEYBA - SALAM ZAO


Tazama Video mpya kutoka kwa Ney wa mitego(True Boy) hapa chini...

HIVI NDIVYO JACKLINE WOLPER ALIVYODHALILISHWA FACEBOOK.. AOMBA MASHABIKI KUA NA HURUMA



Akionyesha kusikitishwa na kile kinachoendelea facebook, leo hii muigizaji bongo movie,Jackline Walper ameanika maongezi yaliyokuwa yakiendelea katika akaunti ya Walper fake kupitia facebook ikionyesha chati iliyoonekana Walper akiomba sh 20,000 kwa ajili ya kununua umeme mara baada ya kukatiwa na umeme huku akifanya kazi zake kwenye computer.Tazama hapa chini..

Tuesday 5 November 2013

NEW VIDEO: MCHIZI MOX - PIGA MAKOFI


Tazama video mpya kutoka kwa Mchizi Mox hapa chini...

WAASI WA M23 WAAMUA KUSALIMU AMRI....WADAI UASI SASA BASI...

 
Waasi wa M23 katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametangaza kumaliza uasi wao ndani ya nchi hiyo muda mfupi baada ya kupigwa katika ngome yao ya

TAARIFA MUHUIMU KWA WANAKAMATI WALIOFANIKISHA MSIBA WA ALBERT MANGWAIR



Wanakamati wote ambao walifanikisha mazishi ya ndugu yetu marehemu Albert Mangweha aka CowBama mnataarifiwa kufika kwenye kikao kitakachofanyika siku ya

Monday 4 November 2013

WANAUME HUU UJUMBE UNAWAHUSU SANA...JE KUNA UKWELI HAPA??

http://shexpress.files.wordpress.com/2011/10/b1b01c2a4e0a4568_picture_of_beautiful_woman_b.jpg

Katika pitapita yangu nimekutana na hii sms ikiwa imeandikwa kwa staili ya namna yake….Huu ujumbe unawahusu sana wanaume hasa inapokuja kwenye suala la kujali…Tazama SMS hiyo hapa chini.. 

Sunday 3 November 2013

P-SQUARE KWELI WANAISHI KAMA WAFALME..TAZAMA PICHA ZA NYUMBA WANAYOISHI..



Hii ndo faida ya kufanya vizuri kwenye muziki… Wasanii mapacha kutoka Nigeiria maarufu kama P-SQUARE wameonyesha ni jinsi gani muziki unalipa Baada ya PETER Okoye Kushea picha akiwa na  Pacha wake “Paul” katika nyumba yao iliyozungukwa na vitu vya thamani..
Peter alipost picha hiyo na kuambatanisha na maneno haya…#2kings…… Work hard, play harder.”
Cheki picha zingine hapa chini..

SIKU ZOTE MAFANIKIO HUJA NA VIKWAZO VINGI.. NA HAYO NDO YAMEMKUTA DR.JOSE CHAMELEONE..


Katika hali iliyopo katika maisha ya kawaida kua siku zote ukiwa na maendeleo lazima vikwazo vitakua vingi sana...hayo yameonekana kumkuta star kutoka Uganda..Dr. Jose Chameleon na kumpelekea kuandika maneno haya kwenye ukurasa wake wa facebook..tazama hapa chini.

Saturday 2 November 2013

HUYU NDIYE MTU MWENYE SURA MBAYA ZAIDI.. AMEIBUKA MSHINDI MARA 2 MFULULIZO



 
William masnivu Kutoka Zambia ameibuka mshindi kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuwashinda wenzake  11 katika mashindano ya kumtafuta mtu mwenye sura mbaya zaidi Zimbabwe..endelea hapa chini...

Friday 1 November 2013

BAADA YA NDEGE ALIYOPANDA KUPATA HITILAFU IKIWA ANGANI..HICHI NDICHO ALICHOKISEMA JOH MAKINI



Joh makini ameandika maneno haya kwenye akaunti yake ya instagram baada ya kutokea kwa hitilafu kwenye ndege ambayo alikua amepanda...Thanx God wako salama..Tazama alichokisema hapa chini..

BAADHI YA PICHA ZIKIONYESHA JINSI HARUSI YA MTU MREFU DUNIANI ILIVYOKUA...



Sultan Kosen (miaka30), mkulima kutoka Uturuki ambae ndo mtu mrefu kuliko wote duniani alipata mchumba siku chache zilizopita na Hizi ndo baadhi ya picha ya Harusi yake… Tazama picha hapa chini..