Saturday 9 November 2013

HII INAKUHUSU SHABIKI WA DIAMOND PLATNUMZ...

 

Baada ya kuzunguka akipiga show za nje ya nchi..Diamond platnumz amezidi kudhihirisha kua ni mkali kunako gemu ya muziki wa bongo fleva na sasa anatarajia kupiga show Jijini Arusha..Diamond alipost picha hizo kwenye mtandao wa instagram na kuambatanisha na hizi picha zingine ..Tazama hapa chini...
Diamond 22

0 comments :

Post a Comment