Monday 30 September 2013

TAZAMA PICHA ZA UTENGENEZAJI WA VIDEO MPYA YA RIHANNA... HATARIII,,,

Rihanna shoots new video
Hizi ndizo baadhi ya picha ya behind the scene ya ngoma mpya ya Rihanna inayotegemewa kutoka wiki ijayo...wimbo unaitwa ''Pour it Up''...nguo zake za Nusu uchi zahusika..cheki hapa

AUDIO: LADY JD FT SONGA, ONE, NIKKI MBISHI, & MKOLONI - JOTO HASIRA (REMIX)


Sikiliza Na Download remix ya  Joto Hasira ambayo ameshirikisha
Songa, ONE, Nikki Mbishi, Mkoloni....

HII NDO BARUA NZITO ALOANDIKIWA SHILOLE....TAZAMA HAPA.


MSANII wa sinema za Kibongo,Zuwena Mohemed‘Shilole ameandikiwa barua yenye ujumbe mzito na mtoto wake aitwaye Joyce akimuasa mama yake kuwa care na kila kitu anachokifanya.

Sunday 29 September 2013

WASHIRIKI HAWA WA "BBA THE CHASE" WAKUTANA NA KUKUMBUSHA ENZI ZAO..TAZAMA HAPA


Bervely Osu na Angelo collins wamekutana jana katika birthday ya BERVELY na kukumbushana enzi za BBA..wawili hao walipigwa picha wakiKISS katika sherehe hizo zilizofanyika katika Club ya AURA..Cheki picha hapa..

Friday 27 September 2013

SIKILIZA WIMBO WA HUYU DOGO ALIYOIMBA MAALUM KWA KUMKEJELI DIAMOND PLATNUMZ


Huyu ndiye Dogo aliedai kua ni mdogo wake Diamond Platnumz na kuimba nyimbo akimtukana /kumkejeli Diamond platnumz..Msikilize Hapa Chini...

MFAHAMU JAMAA ANAECHORA KWA KUTUMIA KIUNGO CHAKE CHA UZAZI.. TAZAMA PICHA PIA ALIZOCHORA



Tim Patch ni msanii kutoka Australia ambaye jina lake la kazi (nickname) ni Prickasso.. M-Australia huyo alipata umaarufu mkubwa duniani baada ya kutumia kiungo chake cha uzazi (uume) kuchorea

RIHANNA AINGIA KATIKA BIFU ZITO NA MSANII MWENZAKE...TAZAMA MKASA MZIMA HAPA

Mwanamuziki na muimbaji “Teyanna Taylor” ameingia katika bifu zito na Rihanna.. na hii ni baaada ya Rihanna

Thursday 26 September 2013

Monday 23 September 2013

RAPA GUCCI MANE AOMBA RADHI KWA KUCHAFUA MUSIC INDUSTRY NA KUDAI ANAELEKEA REHAB...

Gucci Mane apologises

Rapa Gucci Mane amejitokeza na kuomba msamaha kwa kile alichokiandika kwenye Twitter kilichokua kikiwachafua wasanii wenzake (T.I , Nocki Minaj, Drake na wengineo) na Music industry kiujumla...... Gucci ameomba msamaha huo kupitia account yake ya twitter na  kudai amekua

Saturday 21 September 2013

AUDIO : MASSU FT TOMINO - NENDA


The best of upcoming R'n'B singer...download hapa....

AL SHABAAB YADAI KUHUSIKA NA TUKIO LA UGAIDI KENYA.. NA KUDAI KENYA ILIPUUZA ONYO LAO...

Duka la kifahari lililoshambuliwa la Westgate katika mtaa wa Westlands Nairobi
Afisaa mmoja mkuu wa kundi la kigaidi la Alshabaab, amefahamisha BBC kuwa kundi hilo ndilo

MAGAIDI WATEKA WATU DUKANI NAIROBI....



Waliojeruhiwa baada ya magaidi kuvamia duka Nairobi

Thursday 19 September 2013

HATIMAYE AGNESS MASOGANGE AACHIWA HURU HUKO SOUTH AFRICA...CHEKI ALICHOKISEMA HAPA..



 
Video queen maarufu Tanzania Agness Gerald aka Agness Masogange au Eggy ambaye alikamatwa huko South Africa kwa tuhuma ambazo ziliripotiwa kuwa ni kusafirisha mzigo wa dawa za kulevya

BAADA YA MENGI KUSEMWA KUHUSU PETE ALIYOMVALISHA MCHUMBA WAKE... LUCCI AWEKA MAMBO SAWA....


Baada ya mengi kuongelewa kuhusu pete aliyomvalisha mchumba wake wa sasa kua inaweza kua ni

Tuesday 10 September 2013

Monday 9 September 2013

Saturday 7 September 2013

Monday 2 September 2013

ARSENAL YAKUBALI KUMSAJILI MESUT OZIL KWA PAUNDI 42.4..IKIWA NI REKODI MPYA KWA CLUB HIYO



Arsenal wamekubali dili la kumsajili Messut Ozil kwa paundi 42.4 million ambayo itavunja rekodi ya

BALE AVUNJA REKODI YA USAJILI DUNIANI... CHEKI ALICHOKISEMA KUHUSU TOTENHAM..

Gareth Bale
                               Gareth Bale


Real Madrid imevunja rekodi ya dunia ya uhamisho wa wachezaji kwa kumsajili mshambuliaji wa

NELSON MANDELA ATOKA HOSPITALINI... TAZAMA MSAFARA WAKE PIA IJUE AFYA YAKE KWA SASA...

File - Former South African President Nelson Mandela at a news conference in Johannesburg, in this Wednesday, March, 5, 2008 file photo. Mandela has been discharged from hospital Sunday Sept. 1 2013, where he has been treated for months with a recurring lung infection. Mandela was released to his home in Johannesburg's Houghton suburb. (AP Photo/Denis Farrell, file)
Serikali ya Afrika Kusini inasema kuwa rais wa zamani, Nelson Mandela, ametolewa hospitali