Monday 2 September 2013

NELSON MANDELA ATOKA HOSPITALINI... TAZAMA MSAFARA WAKE PIA IJUE AFYA YAKE KWA SASA...

File - Former South African President Nelson Mandela at a news conference in Johannesburg, in this Wednesday, March, 5, 2008 file photo. Mandela has been discharged from hospital Sunday Sept. 1 2013, where he has been treated for months with a recurring lung infection. Mandela was released to his home in Johannesburg's Houghton suburb. (AP Photo/Denis Farrell, file)
Serikali ya Afrika Kusini inasema kuwa rais wa zamani, Nelson Mandela, ametolewa hospitali
ambako amekuwa akitibiwa mapafu tangu mwezi wa Juni.
Taarifa katika tovuti ya rais wa Afrika Kusini imeeleza kuwa Bwana Mandela bado ni mahtuti na hali yake wakati mwengine inabadilika.
Lakini madaktari wake wanaamini akiwa nyumbani kwake mjini Johannesburg atapata matibabu sawa na yale ya hospitali.
Nyumba ya Bwana Mandela imebadilishwa ili kumruhusu kupata matibabu ya mgonjwa mahtuti akiwa nyumbani.
Serikali imesema inamtakia mema wakati akiendelea na matibabu.


Press gather outside the Johannesburg home of former South African president Nelson Mandela after he was discharged from a Pretoria hospital Sunday Sept. 1, 2013.    Mandela has been in hospital for more than two months fighting a recurring lung infection. (AP Photo/Denis Farrell) 

An ambulance transporting former South African president Nelson Mandela arrives at the home of the former statesman in Johannesburg, South Africa, Sunday, Sept. 1, 2013. Mandela has been in hospital for more than two months fighting a recurring lung infection. (AP Photo / Denis Farrell) 

 An ambulance transporting former South African president Nelson Mandela arrives at the home of the former statesman in Johannesburg, South Africa, Sunday, Sept. 1, 2013. Mandela has been in hospital for more than two months fighting a recurring lung infection. (AP Photo / Denis Farrell) 

 An ambulance transporting former South African president Nelson Mandela arrives at the home of the former statesman in Johannesburg, South Africa, Sunday, Sept. 1, 2013. Mandela has been in hospital for more than two months fighting a recurring lung infection. (AP Photo / Denis Farrell)

0 comments :

Post a Comment