Friday 30 August 2013

FRANCIS CHEKA ATWAA UBINGWA WA DUNIA WA WBU




 Mgeni Rasmi katika Mpambano wa Kimataifa wa kuwani Mkanda wa Ubingwa wa Dunia wa WBU,kati ya

FAHAMU YALIYOJIRI KATIKA UZINDUZI WA FILAMU YA LULU "FOOLISH AGE"

1
  lulu akiwasili ukumbini tayari kwa uzinduzi

HII INAMAANISHA NO BEEF KATI YA MADAM RITA NA NEY WA MITEGO

 


Ni mengi umeyasikia wakati huu ikiwa ni siku kadhaa tu baada ya kutoa single ambayo amechana

KICHWA CHA BINADAMU CHAPATIKANA KATIKA OFISI YA MKUU WA POLISI


Polisi nchini Kenya
Polisi nchini Kenya wanachunguza kisa ambacho kichwa cha mtu aliyeuawa kilipatikana kimewekwa

CHEKI PICHA JINSI UZINDUZI WA VIDEO (NUMBRE ONE) MPYA YA DIAMOND PLATNUM ILIVYOKUA

Napenda kutoa Shukrani zangu za dhati kwa
Mwenyezi Mungu kwa kuweza kunifanikisha
hadi kufikia hapa muda na wakati kama huu...
Usiku wa tarehe 29.08.2013 nilikuwa na Launch

Sunday 25 August 2013

BBA The Chase: CHEKI YALIYOJIRI KATIKA FAINALI ZA BIG BROTHER AFRICA..NAMIBIA YANG'ARA


Baada ya Mashindano ya BBA kukita kwa siku 91 leo hi indo ilikua siku ya mwisho kwa shindano hilo.. Shindano hilo lililokua la kipekee katika siku ya fainali baaada ya washiriki wote kutokea na wengi wakionyesha nyuso za furaha...... 

Winner: Dillish does it for the ladies!                            BBA The Final

Saturday 24 August 2013

CHEKI MAYOR WA TORONTO "ROB FORD" ALIVYOMSHINDA "HULK HOGAN" KATIKA MIELEKA YA MKONO KWA MKONO

Mayor wa Toronto "Rob Ford" amemshinda mwana mieleka wa zamani "Hulk Hogan" katika mieleka ya mkono kwa mkono kwenye uzinduzi wa ''City Annual pop culture"https://encrypted-tbn2.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcTlOWMYQvElG1Y9-MSo93m2S8yLRlk_8yhc0O3QToZli0qhm16sKg
Meya wa Toronto(kushoto) na Hulk hogan (kulia)

NDAMA WA AJABU AZALIWA HUKO NEW ZEALAND, ANA MIGUU 8, MIILI 2, MASIKIO 4 NA KICHWA KIMOJA

planetchoice.blogspot.com
Ndama wa ajabu aliyezaliwa na badae alikufa

TAZAMA PICHA YA KWANZA YA MTOTO(NORTH WEST) WA KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN

Rapper Kanye West ameonyesha picha ya kwanza ya mwanao katika kipindi cha Tv cha bibi yake na mtoto huyo"Kris Jenner"
Kim Kardashian and Kanye West at a basketball match
kanye West na Kim kardashian wameonyesha picha hizo za binti yao mwenye umri wa miezi miwili,

Friday 23 August 2013

FAHAMU KAULI YA MADAM RITA KUHUSU NEY WA MITEGO

Jaji mkuu wa Epiq Bongo Star Search, Rita Paulsen maaarufu kama Madam Rita leo hii katika kipindi XXL(you Heard) cha clouds Fm amefunguka na kusema ya kua hana mpango wa kumshitaki Ney wa Mitego.
 

Madam Rita ameyasema hayo baada ya kuwepo na uvumi kwamba anampango wa kumfungulia kesi

CHEKI PICHA ZA NDEGE ILIYOTUA ZIWA MANYARA BAADA YA KUPATA HITILAFU

                     planetchoice
                                                    Cheki na zingine hapa chini

Thursday 22 August 2013

GWIJI WA MUZIKI WA DANSI "MUHIDIN MAALIMU NGURUMO" AMETANGAZA RASMI KUSTAAFU MUZIKI


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhnpGct2iZ_M7YCfFgf-Yo0S4t1t-A6-p6X4Fg0wWzW_ht8PiK9Ry0VkAlXOOLmP-ysABD1DM69PmRrKOetOzxxGbdXjjf-btNpiRF3V686JrIKKgR5QWbN-6257EIaS4UyZz38pe5i6Aw/s640/Fenella+WHVUM+1540.jpg
                                  Mzee Ngurumo(katikati)
Mwanamuziki mkongwe wa bendi ya Msondo Ngoma Mzee Muhidin Maalim Gurumo amestaafu

Tuesday 20 August 2013

CHEKI MASHABIKI WALIVYOREACT BAADA YA DIAMOND PLATNUM KUWEKA PICHA AKIONYESHA MIDDLE FINGER

Is this the right finger that you are talkin about @roma2030 ...?

NINI KINAENDELEA HAPA.... JOKATE NA LUCCI

Baada ya kushinda katika Tuzo za Under 30 Youth zilizofanyika jumamosi iliyopita Jokate Mwengelo amepost hizi picha...
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEha3kFhapFs8CTB5lh8dr2uhFH-fMtliI0XmYyQXgGpBy1TPetQtORZXv5FX_FKVM216PR0J-7_sYlAy51OQKQUlOQThb9NGgHW9OEDz1XqW_2e6LKyJ-MvS6bW5XSMkAW0PQnS8H2dlKwS/s640/coming+soon.jpg
Watu wazidi kujiuliza kuna nini kinaendelea... ngoja tusubiri.. cheki na hii pia

PICHA OFFICIAL ZA MTOTO WA PRINCE WILLIAM (PRINCE GEORGE) ZATOLEWA

Familia ya kifalme imetoa picha official za kwanza zikimwonesha mtoto wao "Prince George". picha hizo za William, Kate na mwanao "Prince George" zilipigwa na The Duchess of Cambrige"s father "Michael Middleton" Cheki nazo hapa chini
http://media.skynews.com/media/images/generated/2013/8/19/254602/default/v2/9419935-1-1-762x428.jpg
 Kate, William na Prince George.... pamoja na Mbwa Wao

Sunday 18 August 2013

BBA The Chase: "BIMP" NA "ANGELO" WAAGA MASHINDANO NA CHEKI JINSI AFRICA ILIVYOPIGA KURA

Washiriki wawili katika shindano la Big Brother Africa "Bimp (Ethopia)" na Angelo (South Africa) usiku wa leo wameyaaga mashindano hayo na kuacha wenzao (washiriki watano) wakiwania dola za kimarekani laki 3 katika fainali itakoyofanyika siku ya jumapili ijayo.
 
Bimp amekua mshiriki wa 21 kutoka na kufuatiwa na angelo ambao wote kwa pamoja walionekana

CHRIS BROWN AHUKUMIWA MASAA 1000 KUFANYA KAZI ZA KIJAMII

Star wa pop kutoka nchini marekani "Chris Brown"(24) amehukumiwa masaa 1000 kufanya kazi za kijamii. hukumu hiyo imekuja baada ya kuonekana kuwa na mapungufu mengi katika probation aliyokua nayo.
http://media.skynews.com/media/images/generated/2013/8/17/254189/default/v1/rtx12oar-1-522x293.jpg
      Chris Brown na Attorney Wake katika mahakama ya Los Angeles
Hukumu hiyo ilitolewa na jaji mkuu wa los angeles "James Brandlin"ambaye alisema Chris

Saturday 17 August 2013

FAHAMU MCHEZAJI ALIYEFUNGA BAO LA KWANZA KATIKA MSIMU HUU WA LIGI KUU YA ENGLAND

Ligi kuu barani ulaya yenye mashabiki wengi duniani imeanza rasmi leo ambapo katika mechi ya kwanza liverpool walikua Anfield wakiikaribisha timu ya stock city.
http://assets1.lfcimages.com/uploads/copy_(2)_of_159586352ap014_manchester_c.jpg
Daniel Sturridge ndiye mchezaji wa kwanza kufunga bao la kwanza katika msimu huu wa ligi

Friday 16 August 2013

LULU KUZINDUA FILAMU YAKE MPYA AGOSTI 30

Baada ya kimya kirefu na misukosuko ya maisha, Mwanadada Elizabeth Michael "Lulu" ametangaza kuachia filamu yake mpya agosti 30 na filamu itaitwa "Foolish Age" checki na full data hapa chini
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjOxRcNstb5nj9n6TFkCjQm2dGQ6w_89m4th_2thgCgOekdTECTXiziYyt3IR5wI7d4RSV8JqRjL6qx5z1FmSeAkZUWqxgESkhemRbbhz-QLWsupFXZbdNXPXjOKS3YVr_AR57tTK1LKb0/s640/lulu+3.jpg

HATIMAYE MRISHO NGASA AMETANGAZWA KUA MCHEZAJI HALALI WA YANGA

Mchezaji Mrisho Khalfan Ngasa ambaye  usajili wake ulikua na utata baada ya kuonekana kusajiliwa na timu mbili zinazoshiriki ligi kuu.. Usajili wa Ngassa ulileta utata baada ya kuonekana kasajiliwa na timu ya Yanga na Simba.. Leo shirikisho la soka Tanzania "TFF" imemtangaza mchezaji huyo kua ni mchezaji halali wa timu ya yanga.
http://in2eastafrica.net/wp-content/uploads/2011/05/Mrisho-Ngasa.jpg
Mbali na hayo pia mchezaji huyo ambae aliichezea simba msimu uliopita ametakiwa kulipa million

Thursday 15 August 2013

PICHA 5 UTENGENEZAJI WA VIDEO YA "BILA KUKUNJA GOTI"

Wasanii maarufu AY na Mwana FA ambao wanafanya vizuri katika gemu ya muziki Tanzania na Duniani kote, wametoa picha zinazoonyesha utengenezaji wa video ya ngoma yao mpya waliomshirikisha msanii kutoka Nigeria "J Martins", picha zinazoensha video itakua next level.. cheki  nazo hapa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjg6ErxTZCwUb8f6vbBUx3EvYq43nGLyKrgA64usC_5_sM4zbj0hadDooM1JB9G6OIh4tE2BK_h_EbozG5VAmeNidXmTIJED3YpE2onmZgrWaXj3UAstu6Nb5iexx4tTJOOeqTMVKSzeMg/s1600/BRky9_MCAAAQZ6e.jpg
                 AY, J Martains na Mwana FA

CHEKI REACTIONS ZA MASTAA BAADA YA KENDRICK LAMAR KUSEMA "HE IS THE KING OF NEW YORK"

Baada ya msanii kutoka obama land "Kendrick Lamar" kudai kwamba "he is the king of new york", wasanii wenzake kutoka pande hizo waonyesha kuguswa kwao na hayo maneno na kuonesha ni jinsi gani walivopokea maneno hayo.. Kendrick aliyasema hayo katika moja ya verse zake katika ngoma aliyoshirikiswha na Big sean "control"
http://t2.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcS9deeO4KUZsCNEfHLQsKO851DqKf_2SYGI01PiZlHuaoHaGcVH
Cheki na tweets za mastaa kuhusiana na inshu hiyo hapa chini

Tuesday 13 August 2013

MEEK MILL AZUIA UGOMVI WA 50 CENT

http://t1.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcQxLLdXw9xZ5CwSU977nHBf-TnUobhakct0AI6qfQNk8YpDDoDK
Kumekuopo na beef ya siku nyingi kati ya crew ya meek mill na 50 cent lakini  bifu hiyo inaonekana  imekuja

CHIDI BENZ ATANGAZA KUACHANA NA MADAWA YA KULEVYA

Mkali wa Hip Hop kutoka ilala Lafamilia "Chidi Benz" leo hii katika kipindi cha XXL kinachoendeshwa na clouds Fm ametangaza kuacha kutumia madawa ya kulevya, vilevi na ganja.. Chidi benz ameyasema hayo wakati alikua akitambulisha ngoma yake mpya ambayo alisema haina jina na kutaka watanzania kumsaidia kulipatia jina wimbo huo na pia Chidy alisema ni mda mrefu sasa toka aanze kutumia madawa ya kulevya, vilevi na ganja ambavyo vilikua vinamjengea sana hasira.
 http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/08/Chidi-Benz-12.jpg
uamuzi huo umekuja baada ya kuona vilevi hivyo vimeanza kumzidi uwezo na alisaidiwa na mshkaji wake wa

BAADA YA KUTOKA NA "SALAM ZAO" NEY WA MITEGO AANZA KUPOKEA SIMU ZA VITISHO

Mkali kunako gemu ya muziki wa bongo fleva "Ney wa Mitego" amedai ameanza kupokea vitisho mara baada ya kuachia ngoma yake mpya inayoitwa " Salam Zao", katika baadhi ya mistari ya wimbo huo Ney amesikika akisema "nani nimtume kuzimu, afikishe salam kwa kanumba na ngwea awaambie yalotokea, kwenye misiba yao kuna watu wamepiga ela na kusema kua anawajua kwa majina wakizingua atawataja"
 http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/07/960009_660700250613561_2036015755_n.jpg
                                      Ney wa Mitego(True Boy)
juzi katika akaunti yake ya  instagram Ney alitoa picha zikionesha Sms alizokua akitumiwa na watu hao na kusema kua hizo ni baadhi ya Sms na atazitoa zingine baadae . cheki na sms hapo chini

ROBERT MUGABE AMWAMBIA MPINZANI WAKE MORGAN TSVANGIRAI AKAJINYONGE

Rais wa zimbabwe Robert Mugabe amemwambia mpinzani wake Morgan Tsvangirai akajinyonge.. Mugabe alisema kua hawezi kurudi nyuma baada ya kushinda matokeo ya uchaguzi nchini humo na pia Rais huyo wa zimbabwe aliongezea kua wale wote wanaodai uchaguzi haukua wa haki waende wakajinyonge.
 http://nehandaradio.com/wp-content/uploads/2012/07/Mugabe-Tsvangirai-590-e1342524722888.jpg
mapema katika hotuba yake mara  baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu nchini humo july 31, Mr Mugabe

Monday 12 August 2013

MTANZANIA "FEZA KESSY" AYAAGA MASHINDANO YA BBA

Mshiriki pekee kutoka Tanzania katika shindano la BBA "FEZA KESSY"usiku huu wa ameyaaga mashindano hayo na kuzima matumaini na ndoto za watanzania katika mashindano hayo baada ya aliekua mshirki mwenzake kutoka Tanzania "Army Nando" kuondolewa katika mashindano hayo kwa kukuika sheria za mchezo huo.
 http://cdn.dstv.com/originalproductions/article/feza-live_lg_74d1aab9-1a24-4e1d-bbad-f477f8add475_371311203704951.jpg
FEZA amekua mshiriki wa 20 kutoka katika shindano hilo na Mara baada ya kutajwa kua ndo

Sunday 11 August 2013

CHEKI YALIYOJIRI ARUSHA BAADA YA COMMANDO JIDE KUSHUKA NA TEAM YAKE.

http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/05/JD_65.jpg
Mwanadada mkongwe kunako gem ya muziki, Lady JD a. k.a Binti machozi na sasa hivi maarufu kwa jina la Anaconda katika sikukuu ya Eid alikua jijini Arusha kuwapagawisha mashabiki zake. Jide alishuka na timu yake nzima akiwemo msaanii mkongwe katika upande wa Hip Hop, "Prof jay".

Saturday 10 August 2013

GERVINHO AKAMILISHA USAJILI AS ROMA


Winga mshmbuliaji wa ivory coast Gervias Lombe Yao kouassi maarufu kama gervinho amekamilisha uhamisho wa kuichezea AS Roma ya italia.

LAMPARD, MATA NA LUIZ HUENDA WAKAMISS MECHI ZA UFUNGUZI WA LIGI KUU

Wachezaji machachari na tegemezi katika timu ya chelsea " Lampard, Mata na Luiz"huenda wakamiss mechi za mwanzo wa msimu wa ligi kuu ya England, hayo yamesemwa na kocha mkuu wa Timu hiyo ya Bluez.. Jose Mourinho amedai ya kwamba Lampard atakosa mechi hiyo kutokana na kuitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya england itakayochuana na scottland jumatano ijayo.. mourinho amedai ya kua mbali na mchezaji huyo kuitwa katika timu yake ya Taifa ila bado anahitaji kufanya mazoezi kutokana na kuwa na mda chache wa mazoezi kipindi cha pre-season kwasababu ya  majeruhi
Lampard, Mata and Luiz could miss Chelsea's season opener, says Mourinho

Friday 9 August 2013

MASHABIKI WAMKIMBILIA DIAMOND AWASAINIE AUTOGRAPH

Cheki na hii picha inayomuonesha Diamond Platnumz akikimbiliwa na mashabiki zake hii ilitokea hapo jana kipindi mkali huyo akishoot tangazo la Coca-Cola

MADAM RITA ATOA SABABU ZA KUHAMISHIA EBSS TBC 1

Lile shindano la kumsaka mkali wa bongo "Epiq Bongo Star Search' kwa mwaka huu wa 2013 hautorushwa ITV kama ilivyokua kawaida na badala yake litarushwa katika kituo cha TBC 1.
Madam Rita ambaye ni jaji mkuu  na mwanzilishi wa shindano hilo ametoa sababu za kuhamisha mashindano hayo kutoka ITV na kuyapeleka TBC 1
 

Thursday 8 August 2013

COCA BOY "DIAMOND PLATNUMZ" AKIFANYA TANGAZO LA COCA- COLA LEO HII

Hizi ni baadhi ya picha zinazomwonyesha Diamond platnumz akishoot tangazo la la coca-cola hivi leo mara baada ya kutoka sauzi...


PICHA 4 ZA UTENGENEZAJI WA VIDEO YA DIAMOND PLATNUMZ AKIWA SOUTH AFRICA

Cheki na picha 4 za diamond platnumz akiwa south Africa akishoot video yake mpya...
wengi tulijua kua mkalia huyo wa "kesho" alienda kusoma kumbe hii ndo inshu kamili


       

NEYMAR ARUDISHA KIASI CHOTE KILICHOTUMIKA KUMNUNUA



KALA JERMIAH KUTOA NGOMA MPYA AGOSTI 14

Msanii bora wa HIP HOP kwa mwaka 2012/2013 kala jeremiah hii jumatano ya agosti 14 anakuja na ngoma mpya alompa shavu mwanadada mpya katika game ya bongo fleva Mary Lucos... habari kamili hii hapa

Sunday 4 August 2013

SHEMEJI YETU ONEAL AYAAGA RASMI MASHINDANO YA BBA

mshiriki  wa BBA kutoka Botswana "ONEAL" usiku wa kuamkia leo ameeyaaga rasmi mashindano hayo... mshiriki huyo ambaye alikua na uhusiano wa kimapenzi na mshiriki kutoka Tanzania "FEZA" ameaga jumba hilo baada ya kuwa na kura chache ukilinganisha na  washiriki wenzake aliokua nao kwenye kikaango.. ONEAL alikua kikaangoni na washiriki wengine wawili ambao ni FEZA pamoja na BIMP kutoka Ethopia
 vid_928task_p29_357.jpg

Saturday 3 August 2013

ARMY NANDO AKIWA LOS ANGELES BAADA YA KUONDOLEWA BBA PAMOJA NA POST YA KWANZA ALIYOANDIKA KWA SHABIKI ZAKE


Mshiriki mtanzania ambaye aliondolewa katika mashindano ya Big Brother Africa wiki iliyopita Army Nando ametimkia los angeles mara baada ya kutoka katika shindano hilo Nando alifanya Interview na  Clouds FM, na kusema kua hajutii kilichotokea kwasababu aliishi maisha yake katika jumba hilo... picha hapa chini zinamuonyesha Army Nando akiwa yuko los Angeles Marekani...