Ndama wa ajabu aliyezaliwa na badae alikufa
Mmiliki wa ndama huyo 'Neil Davy" akiwa amembeba ndama huyo akiwa tayari ameshakufa...
Neil Davy aliuambia mtandao wa NZ wa nchini humo kuwa kama yeye
asingekuepo wakati ndama huyo akizaliwa basi ng"ombe aliyemzaa ndama
huyo naye angekufa kwani alihangaika sana wakati akizaa..
Ilikua ni vigumu kumuangalia wakati alipokua anazaa kwani hali yake
ilikua mbaya sana, alikua akipiga kelele kutokana na maumivu aliyokua
akiyapata kutokana na ndama mwenyewe alivyo nilihangaika naye sana hadi
nikalowa jasho jingi(alisema Devy).
Devy aliongeza kua alidhani Ngombe huyo anazaa mapacha lakini kutokana
na sababu ambazo hazikufahamika kikazaliwa kiumbe kama hicho.
0 comments :
Post a Comment