Sunday 5 January 2014

ZITTO AWACHANA TENA CHADEMA... TAZAMA HAYA MANENO MAKALI KWENDA KWA TUNDU LISSU..


HII ndo kauli ya Zitto kabwe kwa Tundu Lissu..


9 comments :

Anonymous said...

mmh ngoma kali, ulikuwa wapi zitoo kusem ahaya yote....!

Anonymous said...

HIKI NI KICHWA.

Anonymous said...

yangu macho

Anonymous said...

Ngoma inogile hhahahahaaaaaaaaaaa

Anonymous said...

keep it up Zitto, huyu Lissu mie simpendi anajifanya anajua sana mie nikafikiri labda hana skendo yeyote . mchane tu huyo tumjue na yeye

Anonymous said...

History za kawaida hata kitaa zipo kwani aseme now wote walewale

Anonymous said...

mbona ulikuwa husemi muda leo ndio unasema baada ya maovu yako kusemwa roho imeuma na wewe umeamua kuse,a uovu wa freeman mbowe sawa ,wananchi na wanachama wa chadema hawa watu wanachezea vichwa vyetu wote ni waovu zito na mbowe wote ni waovu tangu 2005 mpaka leo 2014 ulikuwapi kusema wewe zito umechangia umasikini nchi hii kwa kutunza siri za ufisadi za mbowe na wewe tindu lissu na mbowe hayo magari kwani zitto kapewa jana ? alipewa zamani mbona hamkusema zamani acheni kucheza na hisia za wananchi tumepata somo kubwa kwa vurugu zeni najua zitto kwa sasa utatoa siri nyingi ulizokuwa umetunza za chadema na sio kwa kupenda ni kwaajiri ya kuwa chafua chadema ili wasikuvue uanachama wote mmefika kubaya poleni wote nyinyi ni wachanga sana kwenye siasa huwa mnajisifia tu.wananchi wote kwa ujumla tuangalie kati ya hawa wtu mchawi ni nani miimi nsha muona ingawa wote wana makosa .

Immapolite said...

napuuza haya kwa kuwa umeyasema ukiwa unazama nia yako meli izame na wewe ukasahau ya kuwa meli ni kubwa na ilipandwa na wengi na wewe ulijiingiza tu ndani ya meli tena kwa kupewa lifti ukitaka kufika ngambo ila ilipofika katikati ya bahari nawe wajifasnya wajua kuogelea na kuvua samaki wengi.zama kivyako sisi safari yetu ya kwenda ngambo ndio ya pamba moto.byeeeeeeeeeeeee zito samaKI wakutafune kwa madaha wasiache hata mfupa

Anonymous said...

Doooo...........

Post a Comment