Thursday 31 July 2014

MSIKILIZE DIAMOND PLATNUMZ AKIRAP KWENYE BIT YA "SHOW ME" YA KID INK FT CHRIS BROWN..


Diamond platnumz kabla ya kuanza kuimba alikua anafanya muziki kwa njia ya Kurap...Diamond amethibitisha kua ana uwezo wa kurap hadi sasa..msikilize hapo chini anavyoshuka kwenye bit ya wimbo Kid ink ft Chris Brown..

Tuesday 29 July 2014

HIZI NDIO IDADI YA TUNZO ALIZOWAHI KUPATA LADY JAYDEE TOKA AANZE MUZIKI...

Judith wambura a.k.a Lady jay dee ni msanii mkongwe nchini tanzania ambapo yapata miaka zaid ya 10 toka aanze kujihusisha na muziki...

Monday 28 July 2014

HUSSEIN MACHOZI ASHINDWA KUFUNGUKA ISHU YA KUFUKUZWA KENYA KWA TUHUMA ZA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU

Mitandao mbalimbali ya nchini Kenya weekend hii zimeandika stori ya kusikitisha kuhusiana na msanii wa Bongo Flava anayeishi nchini humo,Hussein Machozi

Sunday 27 July 2014

HAWA NDIO BAADHI YA WASHINDI WA TUZO ZA AFRIMMA....

Zinaitwa African Muzik Magazine Awards ambapo za mwaka huu 2014 zimetolewa huko Eisemann center Texas Marekani na

Friday 25 July 2014

GAZA : ISRAEL NA HAMAS WASITISHA VITA..

Serikali ya Israel na wapiganaji wa Hamas wamekubaliana kusitisha vita kwa masaa 12 katika eneo la Gaza kutokana na maswala ya kibinidaamu kuanzia leo asubuhi.

DROGBA ASAINI MKATABA WA MWAKA MMOJA CHELSEA..

Mchezaji wa zamani wa chelsea Didier Drogba amerejea tena stamford bridge.

LULU MICHAEL ATOA USHAURI KWA WASANII NA MASHABIKI BAADA YA KUSIKILIZA WIMBO MPYA WA ALI KIBA...

Mwanadada muigizaji Elizabeth Michael ametoa ushauri huu kwa wasanii pamoja na mashabiki wao baada ya kusikia wimbo mpya wa Ali kiba- mwana Dar.... Lulu aliandika hivi kwenye akaunti yake ya instagram...

NEW AUDIO: DULLY SYKES - TOGOLA

Ipakue hapa chini....

HIZI NDIO SINGLE MBILI MPYA ZA ALIKIBA ..


Najua mashabiki walikua wanaisubiria sana hiipost ambapo good news zaidi ni

Wednesday 23 July 2014

Tuesday 22 July 2014

DAVIDO ASEMA HAYA BAADA YA KUULIZWA KUHUSU YEYE KUPENDA KUONYESHA MALI ZAKE..

Msanii kutoka Nigeria "David Adeleke" almaarufu kama Davido hupenda kupost picha katika mitandao ya kijamii

ALIKIBA: MIMI SHABIKI WA NYIMBO ZA DIAMOND ; AELEZEA PIA CHANZO CHA BIFU YAO...

Miongoni mwa vitu vilivyokuwa vikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa bongo fleva wiki hii ni pamoja na kusikia
kauli ya Alikiba kuhusu chanzo cha beef kati yake na msanii mwenzake Diamond Platnumz.

DUNGA ATANGAZWA KUA KOCHA MKUU WA TAIFA WA BRAZIL

Brazil imemtangaza mchezaji wa zamani Dunga kuwa kocha wa timu ya

REAL MADRID YAKAMILISHA USAJILI WA JAMES RODRIGUEZ KUTOKA MONACO

Real Madrid wamekamilisha usajili wa mshindi wa

HII NDIYO HALI YA VIDEO QUEEN WA ICE CREAM YA NOORAH BAADA YA KUATHIRIKA NA MADAWA YA KULEVYA..

Video queen wa video ya ‘Ice Cream’ ya Noorah ‘Doreen’ aliyeathirika na matumizi mabaya ya madawa

NEW AUDIO: YOUNG KILLER MSODOKI feat BANANA ZORO - UMEBADILIKA

Hii ndio ngoma mpya ya youngkiller msodoki ambayo kaichia leo july 22...Ipakue hapo chini...

FORBES: HII NDIYO ORODHA YA WAIGIZAJI WA KIUME WANAOLIPWA PESA NYINGI HOLLYWOOD

Mtandao wa Forbes umetoa orodha ya waigizaji wa
kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi. Nao
ni kama wafuatao:

HII NDO KAULI YA JESHI LA POLISI KUHUSU YALIYOTOKEA BUNJU APRIL 21

Kama mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii kuanzia usiku wa July 21 kulisambaa taarifa na picha

Monday 21 July 2014

TAARIFA KUHUSU MIILI YA BINADAMU ILIYOKUTWA ENEO LA BUNJU JIJINI DAR ES SALAAM

Taarifa iliyoanza kusambaa usiku wa July 21 ni
kuhusu Mabaki ya miili ya watu ambao
wanasemekana zaidi ya 100 kukutwa katika msitu

AKAUNTI YA FACEBOOK YA HASHEEM THABEET YAWA VERIFIED...HIKI NDICHO ALICHOKISEMA..

Akaunti ya Facebook ya Mtanzania anayecheza ligi ya kikapu marekani(NBA) , "Hasheem thabeet" imekua verified...
Hasheem aliandika maneno haya baada ya akaunti yake kuwa verified

DIAMOND PLATNUMZ ATANGAZA DAU LA SH: MIL 1 KWA ATAKAYE FANYA HIVI..

Diamond platnumz ametangaza dau kwa mtu au kundi lolote ambayo itaweza kutoa staili kali kwa ajili ya kutumia katika wimbo wake mpya "Mdogo

HII NDIO RIPOTI MPYA KUHUSU MOHAMED SALAH KURUDI KWAO KUITUMIKIA JESHI...


Ripoti wiki hii zilionyesha kua mchezaji wa chelsea "Mohamed Salah" (22) kuhusishwa na kurudi kwao misri kuitumikia jeshi

HIKI NDICHO ALICHOKIFANYA HEMED PHD KWA LADY NAA BAADA YA FILAMU KUMALIZIKA

Inshu iliyofika mezani kwa mhariri Soudy Brown
July 21 ni kuhusu madai yaliyotolewa na Lady Naa

YANGA YAMSAJILI RAIA MWINGINE WA BRAZIL..

Mshamabuliaji Geilson Santos Santana “Jaja” raia wa
Brazil leo amesaini mkataba wa miaka miwili

DAVIDO AFANYA COLLABO NA RICK ROSS NA MEEK MIL..#MMG

Idadi ya collabo za wasanii wa Afrika, hasa Nigeria na
mastaa wakubwa wa Marekani zinazidi kuongezeka.

Friday 11 July 2014

FIFA YATANGAZA WATAKAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA..

Fifa imetangaza orodha ya majina 10 watakaowania tuzo ya mchezaji bora katika michuano ya Kombe la Dunia - 2014 Golden Ball.

Monday 7 July 2014

TAZAMA VIDEO MBILI ALIZOTOA DIAMOND PLATNUMZ..

mondd
July 07 ni siku ambayo Mama mzazi wa Diamond Platnumz anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa na Diamond Platnumz aliahidi kutoa video zake mbili kama zawadi kwa mama yake ambazo zote kafanyia nje ya nchi.