Tuesday 22 July 2014

DAVIDO ASEMA HAYA BAADA YA KUULIZWA KUHUSU YEYE KUPENDA KUONYESHA MALI ZAKE..

Msanii kutoka Nigeria "David Adeleke" almaarufu kama Davido hupenda kupost picha katika mitandao ya kijamii
kuonyesha mali zake..Davido aliulizwa swali na kampuni moja ya magazine(Encomium magazine ) ya nchini kwao.
Baada ya kuulizwa kuhusu ishu hii ya kupenda kuonyesha mali zake kwenye instagram na media zingine..
Davido alijibu,”Sitaweza kuita kama ni kujionyesha kwa mali zangu. Yale ni magari yangu,zile pesa zangu na pia ile ni page yangu. Sio lazima uni follow kwenye instagram wala kunifata kwenye mtandao wowote wa kijamii. Ingekuwa tofauti sana kama nataka kujitangazia mali zangu basi ningetumia mabango ya barabarani lakini sifanyi hivyo”


1 comments :

Hami Tz said...

hahahahahaha..... The King of AFRICA ' DAVIDO '

Post a Comment