Mazungumzo ya ana kwa ana kati ya viongozi
wanaozozana nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na kiongozi wa waasi
Riek Machar, yanatarajiwa kuanza tena mjini Addis Ababa Ethiopia.
Marekani inasema kuwa haina matumaini kuwa mazungumzo ya leo yataweza kuleta mafanikio yoyote.