Saturday 10 May 2014

HII NDO KAULI YA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA WIMBO WAKE (KITORONDO) KUVUJA...

DIAMOND
inawezekana ikawa si mara ya kwanza kusikia habari za wasanii kulalamika kuhusu kuvuja kwa nyimbo zao,Diamond Platnumz nae ana malalamiko yake juu ya hili na hii ni baada ya siku ya leo kusambaa kwa wimbo wake unaoitwa Kitorondo ambao yeye hajautoa lakini kashangaa kuukuta kwenye mitandao ya kijamii.

Kupitia Akaunti yake ya Instagram ameandika kuhusu wimbo huo ambao nyimbo kadhaa za Diamond akitangaza kuvuja kwa wimbo huo ambaye hata yeye kashangazwa na hali hiyo huku akisisitiza kuwa iliyotoka haikua imekamilika,huu ndiyo ujumbe alioandika Diamond.
story

0 comments :

Post a Comment