Msanii maarufu na kipenzi
cha wengi nchini Nigeria David Davido Adeleke, ametoa malalamiko yake
katika mtandao wa kijamii instagram jana kuwa hakupendezewa na kitendo
walichomfanyia idara ya uhamiaji nchini Lagos Nigeria, baada ya
kumsababishia kukosa ndege aliotaraji kupanda
kuelekea LONDON kwa ajili
ya shughuli zake za kimuziki, inasemekana kuwa chanzo cha maafisa hao
kumkwamisha Davido mpaka kumchelewesha kuwahi kupanda ndege yake
aliotakiwa kuondoka nayo ilikua ni Rushwa ambayo imewatesa watu wengi na
hasa wa airports nchini Nigeria.
Davido aliandika
maneno haya katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii instagram baada ya
kukumbana na tatizo na safari yake kushindikana.
“missed my flight to London! pissed! F*ckin immigration officers always harassing me because of money!! F*ck ni*gas.”..
CREDIT: gongamx.com
0 comments :
Post a Comment