Sunday 11 August 2013

CHEKI YALIYOJIRI ARUSHA BAADA YA COMMANDO JIDE KUSHUKA NA TEAM YAKE.

http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/05/JD_65.jpg
Mwanadada mkongwe kunako gem ya muziki, Lady JD a. k.a Binti machozi na sasa hivi maarufu kwa jina la Anaconda katika sikukuu ya Eid alikua jijini Arusha kuwapagawisha mashabiki zake. Jide alishuka na timu yake nzima akiwemo msaanii mkongwe katika upande wa Hip Hop, "Prof jay".

leo aubuhi katika ukurasa wake wa facebook mwanadada ameandika "Arusha raha ndani ya roho " pia Commando jide ameshukuru mashabiki zake wale waliohdhuria na wale ambao hawakuhudhuria katika show hiyo....
                         cheki na hizi picha hapa chini



Commando jukwani

         prof J Kazini

Commando jide na Prof jay wakipagawisha mashabiki

                              Noma saaaana
 
  Jide akiwa na mashabiki chipukizi(watoto wadogo)

       Hawa nao hawakua nyuma
 
                        Team Anaconda

0 comments :

Post a Comment