Saturday 3 August 2013

ARMY NANDO AKIWA LOS ANGELES BAADA YA KUONDOLEWA BBA PAMOJA NA POST YA KWANZA ALIYOANDIKA KWA SHABIKI ZAKE


Mshiriki mtanzania ambaye aliondolewa katika mashindano ya Big Brother Africa wiki iliyopita Army Nando ametimkia los angeles mara baada ya kutoka katika shindano hilo Nando alifanya Interview na  Clouds FM, na kusema kua hajutii kilichotokea kwasababu aliishi maisha yake katika jumba hilo... picha hapa chini zinamuonyesha Army Nando akiwa yuko los Angeles Marekani...


1


3http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/08/41.png
Baadae NANDO alitupia picha hii hapa chini akiwa na FEZA na post ya kwanza katika mtandao wa instagram



 

1 comments :

Post a Comment