Friday 27 September 2013

RIHANNA AINGIA KATIKA BIFU ZITO NA MSANII MWENZAKE...TAZAMA MKASA MZIMA HAPA

Mwanamuziki na muimbaji “Teyanna Taylor” ameingia katika bifu zito na Rihanna.. na hii ni baaada ya Rihanna
kupost video kwenye akaunti yake ya instagram ya mwanaume alievalia wigi ndefu akiimba  wimbo wa sweet love wa Anita Baker... Hii ilimfanya Teyanna kufikiri kwamba Rihanna alikua anamkejeli kwasababu nae  alipost video wiki mbili zilizopita akiimba huo huo wimbo...
Baada ya kuona picha instagram, Teyanna aliingia kwenye Twitter na kuanza kushusha maneno huku Rihanna akijibu...cheki jinsi mambo yalivyokua..
 
 

0 comments :

Post a Comment