Friday 27 September 2013

MFAHAMU JAMAA ANAECHORA KWA KUTUMIA KIUNGO CHAKE CHA UZAZI.. TAZAMA PICHA PIA ALIZOCHORA



Tim Patch ni msanii kutoka Australia ambaye jina lake la kazi (nickname) ni Prickasso.. M-Australia huyo alipata umaarufu mkubwa duniani baada ya kutumia kiungo chake cha uzazi (uume) kuchorea
badala ya brush za kawaida za kuchorea...
Msanii huyo alipata umaarufu mwaka 2006 katika maonyesho ya 10th Annual Sexexpo ambapo Tim alionyesha picha na kujiita mwanzilishi wa aina mpya ya uchoraji...
Toka Tim Patch awe master wa aina hiyo ya uchoraji ni  dhahiri kwamba ameamua kutumia kiungo hicho cha uzazi katika utengenezaji wa picha mpya.badala ya kazi yake maalum..
Tim aliweka wazi kua anapenda kuchora sana picha za wanawake, wanasiasa ,na watu maarufu...hebu cheki baadhi ya picha zake alizochora.. 
  
 
 
 
 

0 comments :

Post a Comment