Saturday 2 November 2013

HUYU NDIYE MTU MWENYE SURA MBAYA ZAIDI.. AMEIBUKA MSHINDI MARA 2 MFULULIZO



 
William masnivu Kutoka Zambia ameibuka mshindi kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuwashinda wenzake  11 katika mashindano ya kumtafuta mtu mwenye sura mbaya zaidi Zimbabwe..endelea hapa chini...

Ameiambia mtandao mmoja wa Allafrica.com kua ubaya wake ni asili yake na hakujiandaa kwa ajili ya show ila amefanikiwa kutoka na ushindi..
Manager wa William ‘’ Michael Gumbo” aliongezea na kusema kua mavazi yake na ubunifu wake ndo ulompatia ushindi japo alifanya kwa kiwango cha chini sana…
Katika ushindi huo William amejishindia ada ya mwaka mzima kwa ajili ya kumsomesha mwanae mmoja..

0 comments :

Post a Comment