Friday 15 November 2013

HUYU NDIYE MWANAFUNZI ALIYEPATA TUNZO YA KUA MSICHANA MWENYE HAMU YA KUFANYA MAPENZI...



 
Msichana mwenye Umri wa miaka 20 “Elina Desaine” ambaye ni mwanafunzi wa computer Science kutoka chuo cha Exeter huko Britain amejishindia tunzo ya kua mwanafunzi mwenye hamu ya kufanya mapenzi kwa mwaka 2013…endelea hapa...

Elina Alitunzwa tunzo hiyo mara baada ya kushinda mashindano ya kumtafuta mwanamke ambaye anauwezo wa kulala na wanaume wengi zaidi iliyokua ikifanyika mtandaoni huku ilitakiwa mshiriki kuonyesha kithibitisho kila akilala na mwanaume..

Elina alishinda kwa kulala na wanaume watatu(3) tofauti ndani ya wiki na alijishindia euro 500 pamoja na Usambaji wa kondomu kwa mwaka mzima…

0 comments :

Post a Comment