Thursday 7 November 2013

PICHA: PAPA FRANCIS AKIMUOMBEA NA KUMBUSU MGONJWA ALIYEJAA MAJIPU MWILI MZIMA



 
Kwa tulio wengi tungemkimbia au kushindwa kumsogelea wala kumgusa lakini Papa Francis ameonyesha Love kwa Mtu huyu mbaye amejaa upele mwili mzima kwa kum-busu  huku kumuombea.. haya yametokea jana kanisani huko Roma wakati papa alikua akiwaombea waumini waliokuja kanisani hapo…Tazama picha hapa chini..

0 comments :

Post a Comment