Wednesday 13 November 2013

MTOTO WA RAIS ATIA AIBU.. ATAKA KUGOMBANA KWENYE KUMBI ZA STAREHE..



 
Ni mwezi umepita tangu kuanzisha kampuni yake a fashion, Mtoto wa Rais Uhuru kenyata ”Muhoho Kenyatta” amekaa tena katika headline lakin safari hii ikiwa ni kwa Mambo mabaya…


ishu ilitokea wikendi iliyopita katika Mercury Lounge Nairobi ambapo baadhi ya wakenya walikua wakijivinjari baada ya kazi wiki nzima.. Kati ya Waliokuepo ni mfanyakazi wa “Classic 105” Victor Okwaro ambaye alikua akijipumzisha na binamu zake pamoja na Mama watoto wake.


Kipindi wapo hapo kijana mmoja alijitokeza na kuforce kuondoka kupitia katikati ya meza alipokuemo Victor na nduguze.. Victor Alijaribu kumuambia kijana huyo ambaye alionekana kalewa kutumia mlango wa kawaida wa kutokea lakini kijana huyo alimjibu kwa maneno machafu ambayo yalimuudhi Victor na kumkunja motto wa rais huyo…Mabaunsa walijitokeza na kumtoa kijana huyo ambaye baadae aliamuru Victor na Familia yake Kutolewa nje ya lounge hiyo…

0 comments :

Post a Comment