Sunday 27 October 2013

DIAMOND NA DAVIDO KUFANYA REMIX YA "MY NUMBER ONE"

Untitled

Msanii mahiri katika ulimwengu wa Bongo Flava maarufu kama Diamond Platnumz, anatarajia kufanya Remix ya wimbo wake ambao unatamba kwa sasa hapa bongo My


Number 1 na msanii mkali kutoka Nigeria Davido mkali wa Skelewu dance, Davido ambaye aliyekuja kwa ajili ya Serengeti Fiesta Dar Es Salaam, amekutana na Diamond ambapo kwa sasa wako njiani wanapiga kazi pamoja na haya ndiyo maneno aliyo post Diamond kwenye akaunti yake ya Instagram …

“I said NGOLOLO Dance, and he said Nah man! SKELEWU Dance… then we decided to put it in a song….and show each other what we gat, we are on tommorow for the new Video #NumberOneRemix”


0 comments :

Post a Comment