madee amemnunulia bosi wake ili gari katika siku ya kuzaliwa kwakena kisha aliambatanisha na maneno haya "Happy be day my boss
@babutale @mkubwafella @dicksound1 @tundamancaptain na hiii ndo ile zawad nliyokuaidi nenda kwako utaikuta#brash#brash#
@bdoz"
tazama picha za gari hapa chini......
0 comments :
Post a Comment