Sunday 1 December 2013

SHAA MJAMZITO...?? TAZAMA POST YENYE UTATA IKIONESHA ANATAGEMEA MTOTO HIVI KARIBUNI..!!

sha

Siku ya jana asubuhi maswali mengi yamejitokeza kutokana na yule mwana dada mwenye ngoma kali ambayo inasumbua jiji ya Sugua Gaga maarufu kama Shaa, Kupost kitu kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa  Instagram ambacho kimefanaya mashabiki na wapenzi wa muziki wake kujiuliza maswali.

Msanii huyu mahiri leo asubuhi amepost picha ya vifaa vya vya malezi ya mtoto mchanga kama chupa za kuwanyonyeshea watoto, vitambaa kwa ajili ya kumvisha mtoto wakati wa kumlisha n.k. na kisha kuandika “Baby shopping yaanza … Am sooo Excited.
baby1

Kutokana na kauli hiyo na picha ambayo ameipost katika akaunti yake ya Instagram, zilimwagika comment mbali mbali ikiwamomaswali ya kama mwana dada huyo nimjamzito au ni vitu kwa ajili ya mtu mwingine wa karibu kutoka kwa followers wake …
babby2



0 comments :

Post a Comment