Friday 18 October 2013

TAZAMA PICHA JINSI AL-SHABAAB WALIVYOSHEREKEA USHINDI WAO BAADA YA YALE YALIYOTOKEA NCHINI KENYA



AL-shabaab wameonyesha picha ambazo zimetafsiriwa kama sherehe ya ushindi kuhusu yaliyotokea Kenya hivi karibuni…Hii ilitokea siku ya jumanne katika sikukuu ya Eid-al-adha ambayo ilifanyika mjini burawa huko nchini Somalia…Tazama picha zaidi hapa...

 
 
 
 
 
 
africanpost.com

0 comments :

Post a Comment