Tuesday 22 October 2013

MBUNGE HUYU KAFULIA AU NDO MWANANCHI WA KAWAIDA??

http://www.the-star.co.ke/sites/default/files/styles/node_article/public/images/articles/2012/09/26/749/embakasimpwaititu.png

Baada ya kunyang’anywa madaraka , Mbunge huyu wa zamani wa jimbo la Embakasi Kenya “Waititu” amekua mwananchi wa kawaida na amekua akitembea bila ulinzi na kuonekana katika hoteli za bei rahisi mwenyewe katika mawazo mazito tofauti na zamani alivyokua akienda kwenye mahoteli makubwa.. , kitu ambacho wengi wamejiuliza kama kafulia au la.. Tazama picha hapa chini..

 

0 comments :

Post a Comment