Saturday 26 October 2013

LINAH: SIJACHUMBIWA BADO ILA NITAOLEWA TU MUDA UKIFIKA



 Msanii mahiri wa kike Tanzania katika ulimwengu wa Bongo Fleva maarufu kama Linah, alikanusha uvumi wa kuwa eti yeye amechumbiwa kutokana na picha alizozipost za Pete ya Uchumba katika mitandao ya kijamii, Msanii huyo pia aliongeza
kua zile picha alzozipost za pete ya uchumba nizilikua za rafiki yake ambaye kwa sasa anategemea kufunga ndoa. Mwana dada huyo alisema kwa sasa bado hajafikiria swala la kuolewa kwa sababu mpaka sasa mwanaume mwenye nia hiyo bado hajajitokeza na hatokurupuka katika swala hilona kama muda muafaka ukifika basi anaamini na yeye ataolewa tu.
Gongamx.com

0 comments :

Post a Comment