Friday 18 October 2013

HUU NDIO UJUMBE WA BENPOL BAADA YA AKAUNTI YAKE YA FACEBOOK KUIBIWA NA WAJANJA..



Kama dakika chache zilizopita msanii mahiri wa Bongo Fleva, Ben Pol amelalamika kwamba kuna mtu amefanikiwa kuingia katika account zake zote za Facebook na kuzitumia account hizo visivyo …
Soma maneno ya Ben Pol hapa alicho kiandika katika ukurasa wake wa Twitter ..


0 comments :

Post a Comment