Sunday 28 July 2013

KENYA WAYAAGA MASHINDANO YA BIG BROTHER AFRICA

Mshiriki kutoka kenya aliekua akibeba taji la nchi hiyo katika mashindano ya Big Brother "ANNABEL" ameyaaga mashindano rasmi usiku wa leo baada ya kuchaguliwa na wenzake... ANNABEL ni kati ya washiriki ambao wamekua nominated mara nyingi katika jumba hilo..
ANNABEL ambaye ana degree mbili amedai ya kwamba anafurahi kurudi nyumbani lakini cha muhimu anaenda kujikita na masomo ya ngazi a juu zaidi(master)...

ANNABEL
Mshiriki mwingine aliyaaga mashindano hayo pia ni SULU kutoka zambia
SULU

0 comments :

Post a Comment