
Mamba aliekua akiishi katika ziwa Victoria mwenye umri wa miaka 80, mwenye uzito unaokadiriwa kukaribia tani moja amekamatwa katika ziwa Victoria upande wa Uganda ni baada ya wananchi kulalamika kuhusu mamba huyo anaekula watu, huku akikadiriwa kuwa ameshakula watu wasiopungua sita mpaka kukamatwa kwake ..Tazama picha zingine hapa chini...
watu wengi kutoka kijiji cha
kakira walifika kushuhudia
mamba huyo akitolewa majini,
huku wakiwa na nyuso za furaha
na wengi wakipiga picha
Mamba aliekua akiishi katika
ziwa Victoria mwenye umri wa
miaka 80, mwenye uzito
unaokadiriwa kukaribia tani
moja amekamatwa katika ziwa
Victoria upande wa Uganda ni
baada ya wananchi kulalamika
kuhusu mamba huyo anaekula
watu, huku akikadiriwa kuwa
ameshakula watu wasiopungua
sita mpaka kukamatwa kwake
watu wengi kutoka kijiji cha
kakira walifika kushuhudia
mamba huyo akitolewa majini,
huku wakiwa na nyuso za furaha
na wengi wakipiga picha
Mtu wa mwisho kuliwa na
mamba huyo ni mzee mwenye
watoto wawili ambae ni mvuvi
wa samaki ambae nguo zake
zilionekana zikielea katika mto
huo huko Uganda.SOURCE: kitaani bongo news
Time in Dar Es Salaam 

0 comments :
Post a Comment