
uamuzi huo umekuja baada ya kuona vilevi hivyo vimeanza kumzidi uwezo na alisaidiwa na mshkaji wake wa
karibu kutoka Kenya "msanii Nonini".
Chidi benz alikua kenya kwa mda mrefu sana akiwa na mwenyeji wake Nonini ambapo walikua wakifanya show nchini humo... Nonini alimwambia Chidi kua kuna njia za kuachana na madawa hayo(hakutaja ni njia gani) bila kwenda Rehab ila ni gharama na risky sana..Chidi alikubali kufanya na mpaka sasa amedai yuko vizuri na hatorudi tena kwenye madawa.
planet choice tunampongeza chidy kwa uamuzi alioufanya na tunamtakia afya njema
0 comments :
Post a Comment