KUMBE! Aliyejipachika kuwa dada wa hiyari wa Mbongo-Fleva, Nasibu
Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye ni zao la Shindano la Kimwana Manywele,
Halima Haruna ‘Kimwana’ amefungukia ishu ya mastaa kibao kujitongozesha
wenyewe kwa jamaa huyo.
Mamba aliekua akiishi katika
ziwa Victoria mwenye umri wa
miaka 80, mwenye uzito
unaokadiriwa kukaribia tani
moja amekamatwa katika ziwa
Victoria upande wa Uganda ni
baada ya wananchi kulalamika
kuhusu mamba huyo anaekula
watu, huku akikadiriwa kuwa
ameshakula watu wasiopungua
sita mpaka kukamatwa kwake ..Tazama picha zingine hapa chini...