
Wanakamati wote ambao walifanikisha mazishi ya ndugu
yetu marehemu Albert Mangweha aka CowBama mnataarifiwa kufika kwenye kikao
kitakachofanyika siku ya
Jumamosi tarehe 9.11.13 saa 9 alasiri pale Leaders
Club Dar es Salaam. Mnaombwa wanakamati wote mfike siku hiyo kuna jambo muhimu
lakuongelea, ukipata ujumbe huu mtaarifu mwanakamati mwenzako..
Djchoka.blogspot.com
0 comments :
Post a Comment