BAADHI YA PICHA ZIKIONYESHA JINSI HARUSI YA MTU MREFU DUNIANI ILIVYOKUA...
Sultan Kosen (miaka30), mkulima kutoka Uturuki ambae
ndo mtu mrefu kuliko wote duniani alipata mchumba siku chache zilizopita na
Hizi ndo baadhi ya picha ya Harusi yake… Tazama picha hapa chini..
0 comments :
Post a Comment