
Mbali na hayo pia mchezaji huyo ambae aliichezea simba msimu uliopita ametakiwa kulipa million
30 alizopokea kutoka kwa timu ya simba na shilingi millioni 15 kama faini. Ngassa pia amefungiwa mechi sita za ligi kuu ikiwemo mechi ya ngao ya hisani ambapo yanga itacheza na Azam siku ya kesho. Ngassa ametakiwa kulipa hizo fedha ndani ya miezi sita na tofauti na hapo atafungiwa kucheza ligi kuu
0 comments :
Post a Comment