Wednesday 2 October 2013

HUYU NDIYE JAMAA ANAYEJISIKIA FURAHA KULA NYAMA MBICHI..MTAZAME HAPA NA KUJUA CHANZO CHA YOTE HAYO..



Derek Nance ni kijana kutoka Lexington, Kentucky, U.S amekula nyama mbichi kwa mda wa miaka mitano iliyopita baada ya kuugua ugonjwa uliompelekea kutengeneza appetite ya kupenda daamu za
wanyama..Derek alisema hata wakati wa kusukutua hutumia nyama mbichi.. pia aliongezea kua hajawai kuugua kwa kutumia nyama hizo na hajiskii kabisa kula nyama iliyopikwa na kusema huwa asikii ladha yake na kuhusi ni nyama tu iliyochomwa... mcheki hapa..
 
Msosi uko mezani
 
Derek na Mpenzi wake 

0 comments :

Post a Comment