Wasanii maarufu AY na Mwana FA ambao wanafanya vizuri katika gemu ya muziki Tanzania na Duniani kote, wametoa picha zinazoonyesha utengenezaji wa video ya ngoma yao mpya waliomshirikisha msanii kutoka Nigeria "J Martins", picha zinazoensha video itakua next level.. cheki nazo hapa

AY, J Martains na Mwana FA

Wanaume kazini

machine za kazi
0 comments :
Post a Comment